Ni hifadhi ambayo ina ukubwa wa Kilometa za mraba 1300. Inayo idadi kubwa ya tembo wanaokusanyika katika eneo moja kuliko eneo lolote Afrika Mashariki.
Hifadhi hii ina sifa ya kuwa na wanyama na mimea karibu yote inayopatikana Kusini na Mashariki mwa Afrika.
No comments:
Post a Comment